Ibraah amshukuru Harmonize kwa kumsindikiza hadi nyumbani kwao na kuonana na mama yake mzazi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Baada ya mapokezi hayo nyumbani kwao Mtwara akiwa na CEO wa lebo ya @kondegang @harmonize_tz huu ndio ujumbe alioandika @ibraah_tz ;-



‘Nashukuru mwenyezi MUNGU 🙏🙏 Ni kwa baraka zake leo Nimekutana Na familia yangu Na ivyo unavyo ona hapo ndio nilivyo pokelewa kijijini kwetu #LUKOKODA Pia Naushukuru uongozi wangu wangu #kondemusicworldwide pamoja na kaka yangu @harmonize_tz 💪❤ kwakunisindikiza kwetu hakika hi ni history Ambayo haito futika kichwani mwangu 🙏🙏.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad