Mike Tyson Amevuta Mkwanja Huu Kwenye Pambano Lake na Roy Jones Jr

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Jumamosi ya Novemba 28 mwaka huu, mkongwe wa masumbwi na bingwa wa zamani wa uzito wa juu Mike Tyson alirejea ulingoni mara baada ya kustaafu mchezo huo miaka 15 iliyopita.


Tyson (54) alirejea ulingoni kuzichapa kwenye pambano la maonesho akizichapa na Roy Jones Jr (51) pambano ambalo lilimalizika kwa sare. Kubwa kwenye pambano hilo lililoteka hisia za watu wengi hasa baada ya kumuona Tyson ulingoni, ni mkwanja ambao ameingiza kwa dakika hizo alizopigana katika round 8.


Imeelezwa kuwa Mike Tyson pamoja na Roy Jones Jr, waliingiza kiasi cha ($1million) sawa na TSH. Bilioni 2.3 kwenye pambano hilo ambalo Tyson ameliita la hisani na si kwa ajili ya kutengeneza pesa.

 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad