AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema kuwa chama hicho hakijateua wabunge wa viti maalum na hivyo hakuna orodha iliyopelekwa Tume ya Taifa ha Uchaguzi (NEC). Mnyika amesema kuwa wanafuatilia kinachojiri na wakithibitisha hujuma au usaliti hawatosita kuchukua hatua.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK