Polisi wa Georgia Marekani, yawatawanya wafuasi wa Trump wakipinga matokeo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Polisi katika mji mkuu wa jimbo la Georgia, Tbilisi, wamewafurusha makundi ya watu waliokuwa wakiandamana kupinga matokeo ya wabunge katika uchaguzi wa juma lililopita.




Maelfu ya watu walikusanyika nje ya jengo la Tume ya uchaguzi kutaka mchakato wa kura kufanyika upya, baada ya kushutumu chama tawala wa wizi wa kura.


Chama cha Dream cha Georgia kimekana shutuma za udanganyifu.


Waangalizi wa kimataifa wamesema “kura zimepigwa kwa kuheshimu uhuru” lakini walikosoa sehemu ya mchakato


Chama cha Dream,ambacho kilianzishwa na bilionea Bidzina Ivanishvili , kilichokuwa madarakanitangu mwaka 2012, kilipata 48% ya kura kwenye uchaguzi wa tarehe 31 mwezi Oktoba.


Ushindi huo unakipa chama hicho haki ya kuunda serikali ijayo.


Lakini maelfu ya waandamanaji walioandamana Tbilisi walikataa matokeo na kutaka ,mkuu wa polisi na wa tume kujiuzulu.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad