TMA yataja Mikoa hii 6, Ambayo Mvua Kubwa zitanyesha Kwa Siku Tatu Mfululizo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetabiri mvua kubwa zinatarajiwa kunyesha siku tatu mfululizo kuanzia Novemba 8, hadi Novemba 10, 2020.

 

Maeneo yanayotakiwa kuwa na tahadhari kubwa ni Dar es Salaam, Morogoro, Tanga, Visiwa vya Mafia, Unguja na Pemba.


Athari zinazoweza kujitokeza ni mafuriko kwenye makazi ya watu, baadhi ya barabara kufungwa na shughuli za kiuchumi kusimama.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad