AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU), inawashikilia waliokuwa waajiriwa wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), kwa tuhuma za wizi pamoja na ubadhirifu wa fedha zaidi ya shillingi za kitanzania Milioni 500.4, ambapo hatua za kisheria zitachukuliwa kwa watakaothibitika.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK