Ujerumani yasema vizuizi vya corona vitakuwepo hadi Machi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Waziri wa Uchumi wa Ujerumani Peter Altmaier, amesema vikwazo vilivyowekwa kuzuia kuenea kwa maambukizi ya virusi vya corona vitaendelea kuwepo hadi majira ya kuchipua yanyoanza mwezi Machi 2021. 


Altmaier ameliambia gazeti la Ujerumni la Die Welt lilochapishwa hii leo kwamba haiwezekani kuviondoa vikwazi hivyo wakati bado kunashuhudiwa maambukizi ya watu 50 katika kila wakazi 100,000 kwenye maeneo mengi ya Ujerumani. 



Hapo Jumatano iliyopita, Kansela wa Ujerumani Angela Merkel alikubaliana na viongozi wa majimbo yote16 nchini kuongeza vikwazo na kuviendeleza hadi mnamo Desemba 20. 



Ujerumani ilitangaza kwa mara nyingine tena masharti ya kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona mwanzoni mwa Mwezi Novemba. Kwa sasa migahawa na baa zimefungwa lakini shule na maduka bado ziko wazi.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad