Zitto Kabwe, Freeman Mbowe Waripoti Polisi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwenyekiti Chadema Freeman Mbowe na Kiongozi wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe pamoja na wajumbe watatu wa kamati kuu wameripoti kituo cha polisi Oysterbay na kutakiwa kuripoti tena kituoni hapo Jumatatu Novemba 9.


Wengine ni aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob, Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake (Chadema) Halima Mdee na aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la Arusha mjini Godbless Lema 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Na yule anaegonga hodi katika taasisi za Uwakilishi wa nchi za Magharibi ni hatari zaidi ya hawa magaidi.

    Au amepelekwa Mirembe.

    Msiwe na Huruma na Hawa katu katu

    ReplyDelete

Top Post Ad