AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
From Diamondplatnumz My brother Hajis Manara roho imeniuma sana kukosa katika siku yako hii kubwa kutokana na mambo ya kazi...lakini naamini Mwenyez Mungu ana Mipango yake...najua now mnaenda Honeymoon mkirudi tafhadhali naomba wasaa nije kuwatembelea nyumbani, nami niwaletee kizawadi changu...Hongera sana na Mwenyez Mungu awajaalie Ndoa yenye Upendo, Maskilizano, Amani, Mafanikio na Kudumu🙏🏼
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK