Kenya: Twiga 8 waliokwama kisiwani wahamishwa kwa njia ya maji

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Wanamazingira, maafisa wa serikali na maafisa wa eneo nchini Kenya wameungana kuokoa twiga wanane waliokuwa wamekwama katika maeneo ya kisiwani.



Walijenga mashua za kusaidia wanyama kuvuka.

Na hadi kufikia sasa, wawili wamefanikiwa kupita salama.

Kwa mujibu wa David O’Connor wa Shirika la Save Giraffes, ameelezea BBC Newsday, kuwa juhudi hizo zilianza miaka mitatu iliyopita pale maji ya Ziwa Baringo yalipoanza kuongezeka.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad