Kijue Kisima Cha Ajabu Kilichopo Bagamoyo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Kisima hicho kilichopo Kaole kina miaka zaidi ya 800. Maji yake hayapungui bila kujali kipindi cha Mwaka au kiasi cha maji kinachochotwa


Ajabu lingine la Kisima hiko ni kuwa, kipo karibu na Bahari lakini kinatoa maji baridi (yasiyo na chumvi) hali hiyo imeongeza Imani ya Watu wengi


Kisima hicho kilichimbwa kwa ajili ya kutawadha Waislamu, kipo pembeni mwa Msikiti wa kwanza kujengwa tangu walipoingia Washirazi


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad