Paula na Baba’ake Hapatoshi, Amtetea Mama Yake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




MOJA kati ya habari ambazo zimeshika vichwa vingi vya habari wiki hii ni pamoja na mtoto wa staa wa Bongo Movie Kajala Masanja, Paula Paul, kujibizana na baba yake mzazi Paul Matthysse ‘P Funk’ mtandaoni.

 

Ishu ilianzia pale ambapo P Funk alifanya mahojiano na moja ya vyombo vya habari nchini nakusema kwamba binti yake huyo amemshinda kutokana na tabia zake kuwa sio nzuri, hivyo kila kitu ambacho kitatokea kwa mwanaye huyo basi aulizwe mama yake.



Kauli hiyo ilionyesha kumkwaza binti huyo nakuamua kuandika walaka mzito katika akaunti yake ya instagram huku akisindikiza na picha ya mama yake.“

 

Hakuna mama bora kwangu kumshinda mama yangu Kajala, kwa sababu umepambana sana kwa mvua na jua ili kunilinda na mabaya na pia kuhakikisha mwanao nakuwa katika mstari mzuri na maisha mazuri, “ haya ni baadhi ya maneno aliyoandika Paula nakuongeza kuwa “ Akinipenda mama yangu inatosha”.
 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad