Suarez Asababisha Wafanyakazi Wanne wa Chuo Kusimamishwa Kazi, Wamfaulisha Mtihani Wakati Hajui Kitu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mshambuliaji wa kimataifa wa Uruguay Luis Suarez amewaponza wafanyakazi 4 wa chuo kikuu cha Perugia nchini Italia, ambao wanashukiwa kuhusika katika udanganyifu wa Suarez kufaulu mtihani wa lugha ya kiitaliano na kupata B1 wakati hajui lugha hiyo.


Luis Suarez baada ya mambo kuwa magumu FC Barcelona alikuwa anataka kuhamia Juventus ya Italia lakini walikuwa washamaliza nafasi za kusajili wachezaji wanaotoka nje za nchi za jumuiya ya umoja wa Ulaya.




Suarez ndipo akalazimika kuomba uraia wa Italia na kutakiwa kufanya mtihani lakini inaonekana kama alidanganya kwani hajui hata kidogo kiitaliano na inasemekana alikuwa nao mtihani siku moja kabla licha ya kufaulu mpango wake ukakwama na kuhamia Atletico Madrid.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad