Kocha wa Platea United atuhumu Simba Kufanya Hujuma

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Kocha wa Plateau United ya Nigeria baada ya kuondolewa na Simba SC katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika amelia na hujuma anazodai walitaka kufanyiwa toka wamewasili Airport DSM.


“Toka tulipowasili Airport tulitishiwa kwa sababu walitaka kuwaondoa baadhi ya wachezaji wetu wasicheze hii mechi (Waseme wana Corona) tukiwa na wachezaji hawa hawa walishinda Nigeria kwa nini waogope”>>>> Abdul Maikaba


Platea United walitolewa na Simba SC kwa aggregate ya goli 1-0 ambalo walifungwa Novemba 29 2020 wakiwa nyumbani kwao Jos Nigeria, hivyo kwa kuwa mchezo wa December  5 wa marudiano kwa mkapa wameshindwa kufungana na kuishia 0-0 basi Platea wanaaga michuano hiyo na Simba sasa itacheza dhidi ya FC Platnum ya Zimbabwe mjini Harare Decemba 22-23 na marudiano January 5-6 2021 Dar es Salaam.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad