Tanzia: Mngereza wa BASATA Afariki Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



 

#TANZIA: Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Godfrey Mngereza amefariki dunia usiku huu wa kuamkia leo Disemba 25, 2020.

Taarifa za msiba huo zimethibitoshwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Sanaa na Michezo, Dkt. hassan Abbasi.

Aidha, taarifa za awali zinaelezakuwa Mngereza amefariki akiwa jijini Dodoma, lakini chanzo cha kifo chake bado hakijawekwa wazi.

Tutaendelea kukupa taarifa zaidi kuhusu msiba huu.
#globalhabariupdates


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad