Hamis wa BSS amuangukia Harmonize "Naomba Anisamehe Nilidhani Nimeshatoboa"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Ni 'headlines' za Hamis wa BSS msanii aliyejipatia umaarufu kupitia mashindano ya kusaka vipaji Bongo, ameonekana kumwaga machozi kwa boss wa lebo ya Konde Gang Harmonize huku akitaka msaada kutoka kwa msanii huyo.

Hamis Bss amefika mbali zaidi kwa kusema kama msanii huyo amemkosea basi anaomba amsamehe kwani mwanzo alionesha nia ya kutaka kumsapoti wakati alipokuwa kwenye mashindano.

"Ningeomba sana anisaidie, ujue mpaka mtu anafikia hatua ya kulia kwa ajili ya kuomba msaada sio poa, anisadie kwa chochote kile hata kwa wimbo mmoja au video tu kwa sababu anajuana na watu wengi, alivyosemaga kwamba atanisaini na kunisaidia nilidhani nimeshatoboa au kama nimemkosea naomba anisamehe" ameeleza Hamis
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad