AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jeshi la Polisi linamshilikilia Sungusungu wa Kijiji cha Nyamalogo, Fedson Matekele na William Desdez (27), Muuguzi wa Zahanati ya Nyamalogo kwa wizi wa Dawa za Binadamu na kuziuza
SHINDA ZAWADI YA SIMU KWA KUDOWNLOAD APPP YA UDAKU SPECIAL HAPA
Kamanda wa Polisi wa Mkoa, Debora Magiligimba amesema, tukio hilo limetokea Januari 12 ambapo uchunguzi wa awali umebaini baadhi ya dawa zimekwisha muda wake wa matumizi lakini zimekuwa zikiuzwa na Fedson Matekele
Watuhumiwa watafikishwa Mahakamani baada ya uchunguzi kukamilika
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK