Mzee Abdul: Kama kweli Diamond sio mtoto wangu basi wamenitua mzigo nilikuwa sijui, namuachia Mungu (+ Video)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Baada ya Mama Dangote kuthibitisha kuwa Diamond ana undugu na Ricardo Momo na Mzee Abdul ambaye watu wengi walikuwa wakifahamu kama Baba yake mzazi Mzee Abduli atoa kauli hii.


Bongo5 tumepiga stori na Baba Diamond Mzee Abdul na kusema kuwa yote anamuachia Mungu na kama kweli Diamond sio mtoto wake anamuomba akabadili jina la Mzee Abdul na atumie la huyo baba yake.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad