Nana Amchinjia Baharini Ibrah "Bado Mtoto Sana"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Video vixen na muigizaji wa tamthilia Bongo, Nabila Othman ‘Nanah’ amekanusha skendo za kutoka kimapenzi na msanii wa Lebo ya Konde Gang, Ibrahim Abdul ‘Ibrah’.


Akizungumza na AMANI, Nanah ambaye wameonekana kujiachia na msanii huyo kwenye gari na kupostiana kwenye kurasa zao za Instagram, amesema kuwa hana uhusiano wowote na Ibrah, ni urafiki tu.



“Sina uhusiano wowote na Ibrah ni rafiki yangu, ni mtu wangu wa karibu sana halafu ukiangali bado ni mtoto kwangu sana, unajua nashangaa sana mtu ukiwa na karibu na mwanaume Bongo tayari kashakuwa mpenzi wako watu wawe hata wanatoka mara moja moja nchi za wenzetu naamini ushamba utapungua,” alisema Nanah.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad