AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika mitandao ya kijamii kuna video inasambaa ikimuonyesha msanii wa muziki @z_antoofficial akiwa karibu zaidi na mwanadada @nicolejoyberry .
Mrembo huyo amesema hakuna chochote ambacho kilikuwa kinaendelea kati yake na muimbaji huyo huku akidai kwamba sio rafiki yake wala mpenzi wake.
Hata hivyo wadau wa mambo wamemhoji mrembo huyo anawezaje kushikwa kiuno na mtu ambaye hamjui kama ambavyo anadai.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK