Qeen Darleen Anapitia Wakati Mgumu Baada ya Taarifa Kuwa Diamond Platnumz Sio Kaka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Nimekaa nikawaza sanaa nikajikuta najiuliza kama queendarleen alikua ajui ukweli mpaka siku Momo ameongea basi sasa hivi anapitia wakati mgumu sanaaa na kuna uwezekano akapoteza baadhi ya marafiki ambao alikua nao karibu kwakua walijua ni tumbo moja na simba

Download App ya Udaku Special HAPA Kusoma Hizi Habari Kupitia Simu yako Kirahisi


Hii imemshusha sanaa jina lake na najua inampa mawazo mengi labda kama alikua anajua ukweli muda mrefu ndio ataweza kupambana na stress na meneno ya wajaa


Je inawezekana simba alijua yeye na darleen hawana undugu wowote ila anamsaidia tu kama njia ya kulipa fazila kwa Mzee Abdul ambae jamii sasa hivi inajua ni baba mlezi???


Kwa sababu ukiangalia ata kwenye muziki tangu wasafi imeanza huyu dada ajafikisha ata video 10 sasa iliwezekanaje simba kumbeba uku akijua sio dada yake wadamu???

Download App ya Udaku Special HAPA Kusoma Hizi Habari Kupitia Simu yako Kirahisi


Kuna kipindi queen alisema simba ndio baba yake maana ndio kila kitu kwake je ni kweli alijua mapema kua hana undugu.…Ameandika Mdau Kuhusu Sakata la Diamond na Familia yake

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad