Raila Odinga ataka urais uwe kwa zamu kwa misingi ya kuponya taifa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Kiongozi wa chama cha upinzani nchini Kenya –ODM Raila Odinga ameunga mkono wito wa rais wa Kenya Uhuru Kenyatta wa kutaka rais ajaye atoke katika jamii tofauti ambayo haijawahi kuongoza.
Akizungumza na kikundi cha vijana Jumatatu Bw Raila alisema kuwa urais ni sula tata kwani Kenya ni taifa lenye makabila mengi.

“Kama mnavyofahamu Kenya ni jamii yenye makabila mengi, na kutokana na hili tunalichukuliwa kwa umakini kutokana na tofauti za kikabila ambazo tunazo katika nchi yetu,” alisema Raila.

Mwishoni mwa Juma Rais Uhuru Kenyatta aliibua mjadala hususa ni katika mitandao ya kijamii nchini Kenya pale aliposema ‘’Ni makabila mawili tu ambayo yameiongoza Kenya tangu uhuru wake.Huenda umefika wakati kwa makabila mengine ambayo hayajawahi kuongoza Kenya kuongoza’’.

Akiunga mkono Kauli ya Rais Kenyatta, Bw Raila alisema haoni madhara yoyote kama urais utakuwa ni wa zamu , hususan ni pale uteuzi unapofanywa na rais anayependelea watu kutoka makabila/ jamii nyingine.

Kiongozi huyo wa ODM anaamini kama urais utakuwa wa zamu taifa linaweza kupona.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad