Unaambiwa Bill Gates Ndiye Mmiliki wa Ardhi Kubwa zaidi Marekani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mwanzilishi wa kampuni kubwa ya teknolojia ya kimataifa ya Microsoft nchini Marekani Bill Gates, ameongeza zaidi ya ekari milioni 1 ya ardhi kwa utajiri wake wa dola bilioni 132 na kuwa mmiliki mkubwa zaidi wa ardhi nchini.

Gates alinunua zaidi ya ekari milioni 1 ya ardhi katika majimbo 18 yanayoanzia Washington hadi Florida.


Miongoni mwa ardhi hizo za Gates ni pamoja na ekari elfu 979 za ardhi ya kilimo na elfu 109 za ardhi nyingine ya matumizi.


Bado haijulikani ni madhumuni ya bilionea huyo wa Marekani kuwekeza sana katika ardhi ya kilimo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad