Wajumbe zaidi wa Republican waungana na Trump kupinga matokeo ya urais

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Idadi inayoongezeka ya wajumbe wa Republican wanaungana na juhudi za Rais Donald Trump za kuubatilisha uchaguzi, wakiapa kuyakataa matokeo ya uchaguzi huo wakati Bunge litakapoandaa kikao wiki ijayo cha kuhesabu kura za wajumbe maalum maarufu kama Electoral College na kuidhinisha ushindi wa Rais mteule Joe Biden. 

Seneta Ted Cruz wa jimbo la Texas ametangaza muungano wa maseneta 11 na maseneta wateule ambao wamedhamiria kuyapinga matokeo hayo katika kikao cha pamoja cha mabaraza yote mawili ya bunge Jumatano ijayo. 


Kiongozi wa Warepublican katika Seneti Mitch McConell alikiomba chama chake kutojaribu kukibatilisha kile ambacho maafisa wasioegemea chama chochote wamesema ni uchaguzi uliokuwa wa huru na haki.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad