AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
WATUMISHI wa Wizara ya Fedha na Mipango wametakiwa kuchukua tahadhari zote dhidi ya ugonjwa wa #COVID-19 japokuwa hakuna ugonjwa huo hapa nchini.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango wakati akifungua Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha uliofanyika katika ukumbi wa Kambarage jijini Dodoma ambapo amefafanua kwamba ugonjwa huo haupo Tanzania lakini umeendelea kuitikisa dunia na kuyumbisha uchumi wa nchi nyingi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK