Waziri Mpango: Chukueni Tahadhari Dhidi ya Corona

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





WATUMISHI wa Wizara ya Fedha na Mipango wametakiwa kuchukua tahadhari zote dhidi ya ugonjwa wa #COVID-19 japokuwa hakuna ugonjwa huo hapa nchini.

 

Hayo yamesemwa na Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango wakati akifungua Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha uliofanyika katika ukumbi wa Kambarage jijini Dodoma ambapo amefafanua kwamba ugonjwa huo haupo Tanzania  lakini umeendelea kuitikisa dunia na kuyumbisha uchumi wa nchi nyingi.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad