AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mara ya kwanza msanii wa BongoFleva Amber Lulu amejitokeza hadharani kuonesha ujauzito wake kwenye 'Baby Shower' yake iliyofanyika maeneo ya Mikocheni ambayo ilihudhuriwa na mastaa mbalimbali wa kike.
Wakati yupo kwenye 'red carpet' anafanya mahojiano na waandishi wa habari, Amber Lulu amesema anafuraha sana kuelekea kuwa mama mpya mjini ila cha ajabu hamfahamu ni mwanaume gani aliyempa ujauzito huo
"Nijasikia vizuri kwa sababu naenda kuwa mama mpya mjini na kuna vitu vingi ambavyo vimebadilika na nahitaji kuvifanya, mimi mwenyewe baba wa mtoto simjui ila yupo na sio P Funk Majani, labda msubiri nikijifungua" amesema Amber Lulu
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK