Amuua Mama Yake Kwa Lengo la Kuongeza Utajiri Kwa Mganga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


KAGERA

Jeshi la polisi linamshikilia Fredius Philibart Kibengo kwa tuhuma za kumkata Shingo Mama yake baada ya mganga kumtaka apeleke Damu ya mama yake au ndugu wa karibu ili kuongeza utajiri kwenye biashara


Siku chache kabla ya tukio hilo, Mtuhumiwa alisafiri kwenda #Burundi kutafuta dawa za kuongeza utajiri na aliporejea nyumbani alimshirikisha mkewe mashariti aliyopewa lakini Mke hakukubaliana nayo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad