AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
KAGERA
Jeshi la polisi linamshikilia Fredius Philibart Kibengo kwa tuhuma za kumkata Shingo Mama yake baada ya mganga kumtaka apeleke Damu ya mama yake au ndugu wa karibu ili kuongeza utajiri kwenye biashara
Siku chache kabla ya tukio hilo, Mtuhumiwa alisafiri kwenda #Burundi kutafuta dawa za kuongeza utajiri na aliporejea nyumbani alimshirikisha mkewe mashariti aliyopewa lakini Mke hakukubaliana nayo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK