Apigwa faini kwa kumkashifu mkongwe wa vita vya pili vya dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mahakma nchini Urusi imetoa uamuzi wa kesi ya pili iliyokuwa ikimkabili kiongozi wa upinzani Alexei Navalny.

Image result for Alexei Navalny

Navalny, alipatikana na hatia ya kumkashifu mkongwe mmoja aliyeshiriki kwenye vita vya pili vya dunia na hivyo ametakiwa kulipa faini ya karibu Euro 9,500.

Kabla ya hapo, mahakama ilitupilia mbali rufaa ya kesi yake nyingine aliyowasilisha kupinga umauzi wa kumfunga jela miaka mitatu kwa kosa la kukiuka dhamana.

Wafuasi wake wanadai kuwa mashtaka yote mawili ni njama ya kisiasa ambapo serikali inataka kuunyamazisha upinzani dhidi ya rais wa Urusi Vladimir Putin.

L
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad