AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mahakma nchini Urusi imetoa uamuzi wa kesi ya pili iliyokuwa ikimkabili kiongozi wa upinzani Alexei Navalny.
Image result for Alexei Navalny
Navalny, alipatikana na hatia ya kumkashifu mkongwe mmoja aliyeshiriki kwenye vita vya pili vya dunia na hivyo ametakiwa kulipa faini ya karibu Euro 9,500.
Kabla ya hapo, mahakama ilitupilia mbali rufaa ya kesi yake nyingine aliyowasilisha kupinga umauzi wa kumfunga jela miaka mitatu kwa kosa la kukiuka dhamana.
Wafuasi wake wanadai kuwa mashtaka yote mawili ni njama ya kisiasa ambapo serikali inataka kuunyamazisha upinzani dhidi ya rais wa Urusi Vladimir Putin.
L
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK