AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Safari ya A.Y nchini Marekani imeendelea kutuacha na maswali kichwani, alianza kwa kutuonesha akiwa na waigizaji wakali wa Hollywood, Robert Davi na Richard Grieco na kusema kuwa anafanya filamu na wakongwe hao.
Jana aliendelea kutuwekea maswali mazito kichwani kwani alituonesha screenshot akifanya mazungumzo na Baba mzazi wa mwimbaji hodari wa dunia, Rihanna. Kupitia Insta stories, A.Y aliweka picha inayomuonesha akifanya mazungumzo ya video na mzee huyo na kuandika "Mazungumzo mazuri na Baba wa Rihanna, Ronald Fenty."
Ni kipi A.Y anapanga kukifanya kupitia mzee huyo? Tunasubiri kauli yake.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK