AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Wydad Casablanca dhidi ya Kaizer Chiefs haiwezi kuchezwa nchini Morocco kwa sababu mamlaka za nchi hiyo kuzuia.
Mamlaka nchini Morocco zimezuia kutoa Visa kwa timu ya Kaizer Chiefs kutokana na sheria mpya za Corona zilizowekwa nchini humo kutoruhusu raia wa Afrika Kusini kuingia nchini kwao sababu ya kuwa na idadi kubwa ya Maambukizi.
Shirikisho la soka nchini Morocco limeiomba CAF iahirishe mchezo huo au iupange uchezwe katika nchi nyingine.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK