Corona kuizuia Kaizer Chiefs kuingia Morocco

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Wydad Casablanca dhidi ya Kaizer Chiefs haiwezi kuchezwa nchini Morocco kwa sababu mamlaka za nchi hiyo kuzuia.
Mamlaka nchini Morocco zimezuia kutoa Visa kwa timu ya Kaizer Chiefs kutokana na sheria mpya za Corona zilizowekwa nchini humo kutoruhusu raia wa Afrika Kusini kuingia nchini kwao sababu ya kuwa na idadi kubwa ya Maambukizi.

Shirikisho la soka nchini Morocco limeiomba CAF iahirishe mchezo huo au iupange uchezwe katika nchi nyingine.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad