FIFA Yaifungia Yanga Kufanya Usajili Kwa Miaka Mitatu, Kisa Mchezaji Tambwe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Shirikisho la soka duniani ‘FIFA’ limeifungia klabu ya Yanga kutokufanya usajili kwa misimu mitatu mfululizo kufuatia sakata la aliyekuwa mchezaji wao, Amissi Tambwe.


FIFA aimeifungia klabu hiyo kutokana na kutomkulipa mshambuliaji wao huyo wa zamani raia wa Burundi malimbikizo ya pesa zake za usajili pamoja na mishahara.


Lakini, Katika hukumu hiyo ya FIFA, Yanga wamepewa nafasi ya kufanya maamuzi.


Yanga wameelekezwa kumlipa Tambwe pesa zote na endapo itashindikana basi kifungo cha usajili kitawekwa kwa misimu mitatu na kufutiwa alama zote na kushushwa mpaka ligi daraja la kwanza.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad