Kagame ataja 'unafiki' katika usambazaji wa chanjo ya corona

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Rais wa Rwanda Paul Kagame amesema kuna "unafiki" katika usambazaji wa chanjo ya Covid-19 duniani.
Rais Kagame amesema hayo katika ujumbe wa Twitter baada ya Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Tedros Adhanom Ghebreyesus, kusema kwamba mkataba ulioafikiwa kati ya mataifa tajiri na watengenezaji wa chanjo umefanya kuwa vigumu kwa shirika hilo kupata chanjo kwa ajili ya mpango wake wa Covax.

Covax ni mpango wa kuhakikisha kuna usambazaji sawa wa chanjo ya Covid-19 katika nchi zote duniani.

Mataifa tajiri yamekosolewa kwa kuhodhi chanjo na kufanya kuwa vigumu kwa nchi masikini kupata chanjo yoyote.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad