AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
GAVANA wa Kivu Kaskazini, Carly Nzanzu, na Mshauri Mkuu wa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), wameongoza maafisa wengine kutoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa balozi wa Italia nchini humo, Luca Attanasio, na mlinzi wake.
Mwili wa marehemu unasafirishwa leo kwenda nchini Italia kutoka uwanja wa ndege wa Goma mashariki mwa DRC.
Attanasio na mlinzi wake waliuawa baada ya msafara wa magari ya Umoja wa Mataifa kushambuiliwa siku ya Jumatatu mashariki mwa nchi hiyo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK