Mwili wa Balozi wa Italia Waagwa DRC

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




GAVANA wa Kivu Kaskazini, Carly Nzanzu, na Mshauri Mkuu wa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), wameongoza maafisa wengine kutoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa balozi wa Italia nchini humo, Luca Attanasio, na mlinzi wake.

 



Mwili wa marehemu unasafirishwa leo kwenda nchini Italia kutoka uwanja wa ndege wa Goma mashariki mwa DRC.

 



Attanasio na mlinzi wake waliuawa baada ya msafara wa magari ya Umoja wa Mataifa kushambuiliwa siku ya Jumatatu mashariki mwa nchi hiyo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad