Tanzia: Aliyewahi Kuwa Mbunge wa Tanga na Waziri Bakari Mwapachu Afariki Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Aliyewahi kuwa mbunge wa Tanga na Waziri wa Sheria na Katiba Bakari Harith Mwapachu, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Februari 12, 2021, katika hospitali ya Taifa Muhimbili, alipokuwa akipatiwa matibabu.


Mwapachu alikuwa mbunge wa Tanga kuanzia 2000 hadi 2010 na amewahi kushika nafasi mbalimbali Serikalini kwa nyakati tofauti.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad