Astrazeneca Yasema Hakuna Ushahidi wa Chanjo Kuwa na Hatari ya Kuganda Damu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Kufuatia mataifa mbalimbali ulimwenguni kusitisha matumizi yake, Kampuni ya #AstraZeneca imesema hakuna ushahidi wa hatari ya kuganda damu kutokana na Chanjo hiyo


Imesema takriban watu Milioni 17 wa Umoja wa Ulaya (EU) na Uingereza wametumia Chanjo hiyo na hakuna ushahidi wowote wa hatari uliopatikana katika kundi lolote


Kampuni hiyo pia imeeleza imefanya na inaendelea kufanya vipimo vya ziada pamoja na Mamlaka za Afya za Ulaya, na vyote havijaonesha sababu ya kuwa na wasiwasi



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad