Cardi B "Msanii Kodak Black Anafaidika Mpaka Kufa na Wimbo Wangu wa Bodak Yellow"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Wimbo wa "Bodak Yellow" haumfaidishi Cardi B tu peke yake, kuna wengi wanaopata pesa kupitia wimbo huo ambao wiki hii umefikia kiwango cha Diamond kwenye mauzo.


Akimjibu shabiki mmoja Twitter, Cardi B alisema Kodak Black anafaidika kifedha na wimbo huo kwa sababu alichangia kupatikana kwa jina la wimbo na hata midondoko (flows), pia Cardi alipata ushawishi kuufanya baada ya kuusikia wimbo wa Kodak, No Flockin.

-

"Alitajwa kwenye washiriki wa wimbo (credit) na wote tunafaidika nao hadi tunakufa. Wimbo unaitwa Bodak Yellow kwa sababu." aliandika Cardi B ambaye huo ulikuwa wimbo wake wa kwanza na ulitoka June 16, 2017.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad