Mahari yangu sio chini ya Milioni 20- Agness

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mrembo Official Agness maarufu kama Agness wa Uchebe amefunguka kusema wanaume wanaotaka kumuoa mahari yake ni kuanzia shilingi Milioni 20 kama hauna hautaweza kumpata.
Agness wa Uchebe amesema sababu ya kutaja mahari hiyo ni kutokana alivyojitengeneza kwenye maisha yake, anavyojieweza na anavyojielewa.

"Mahari yangu mimi ni kubwa sana kwa sababu nimeshajitengeneza kwenye maisha yangu na najielewa, kama nyumba na gari vyote ninavyo pia nina biashara zangu kwa hiyo mahari  lazima iwe kubwa, mahari yangu sio chini ya Milioni 20 wanaume wajipange sana" amesema Agness wa Uchebe 
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad