Majaliwa atokwa na machozi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Waziri Mkuu Mh.Kassim Majaliwa, leo amemwaga chozi wakati akimuaga aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Magufuli, aliyefariki dunia Machi 17, 2021, kwa maradhi ya moyo.

 


Mh. Majaliwa ambaye alikuwa ameongozana na viongozi wengine wakitanguliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh.Samia Suluhu Hassan, walifika katika uwanja wa Uhuru kuaga mwili wa Hayati Dkt, Magufuli, ikiwa ni siku ya kwanza ya zoezi hilo Jijini Dar es Salaam.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad