AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa Uganda, Yoweri Mseveni ametuma salamu za rambirambi katika ukurasa wake wa Twitter.
Rais Museveni amesema, amesikitishwa sana na kifo cha Rais Magufuli.
Alikuwa kiongozi ambaye anaongoza kwa uhalisia na aliyeamini katika kukuza uchumi wa Afrika Mashariki.
Tunajumuika na Watanzania kuomboleza kifo cha mtoto wa Afrika.
Roho yake ipumzike kwa amani.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK