Mwanaume Ajijengea Kofia ya Kufunika Uso Mzima ili Isaidie Kuacha Kuvuta Sigara

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwanaume mmoja wa kituruki kwa jina la Ibrahim Yucel alikifungia kichwa chake kwenye kibanda kidogo kama kofia ili kujisaidia kuacha kuvuta sigara.


Yucel alifikia uhamuzi huo baada ya majaribio yake kadhaa ya kutaka kuacha kuvuta sigara kushindikana.


Mkewe ndiye alikua anahifadhi ufunguo wa kibanda hiko na alikua anamfungulia wakati wa chakula tu.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad