AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanaume mmoja wa kituruki kwa jina la Ibrahim Yucel alikifungia kichwa chake kwenye kibanda kidogo kama kofia ili kujisaidia kuacha kuvuta sigara.
Yucel alifikia uhamuzi huo baada ya majaribio yake kadhaa ya kutaka kuacha kuvuta sigara kushindikana.
Mkewe ndiye alikua anahifadhi ufunguo wa kibanda hiko na alikua anamfungulia wakati wa chakula tu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK