Mwili wa mwandishi wa habari wa ITV umektwa barabarani, polisi yathibitisha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Kituo cha Television cha ITV kimeripoti taarifa za uthibitisho kuhusu kupatikana kwa mwili wa Mwandishi wake wa Habari Blandina Sembu ukiwa umetupwa njia panda ya ITV, Mwenge Dar es salaam.
Taarifa hiyo imesema Jeshi la Polisi Kinondoni limethibitisha kutupwa kwa mwili wa Mwandishi wa habari ITV/Radio one na Mtayarishaji wa kipindi cha Jarida la Wanawake Blandina Sembu katika eneo la njia panda ya ITV.

Hadi sasa Watu waliofanya tukio hilo hawajajulikana lakini imeelezwa gari walilokua wakitumia ni Noah, Polisi wanaendelea kuwasaka. 
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad