Thierry Henry Ajiondoa Katika Mitandao ya Jamii Kisa Ubaguzi wa Rangi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mshambuliaji wa zamani wa Arsenal na timu ya Taifa ya Ufaransa, Thierry Henry (43) amejiondoa kwenye mitandao yote ya kijamii kutokana na ongezeko la visa vya ubaguzi wa rangi katika majukwaa hayo.

Henry ambaye alikuwa na wafuasi milioni 2.3 kwenye mtandao wa Twitter amesema visa vya ubaguzi wa rangi mitandaoni vimefikia kiwango cha kutisha kiasi cha kutopuuzwa tena. Kwa mujibu wa Henry, hatarejea tena kwenye mitandao ya kijamii mpaka Kampuni zinazomiliki majukwaa hayo zitakapoanza kukabiliana na suala la ubaguzi wa rangi kwa kiasi sawa na jinsi wanavyopigana na tatizo la kukiukwaji wa haki miliki.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad