Dkt. Abbasi: Hatujaagizwa Kufungulia Magazeti

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari ambaye pia alikuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Maelezo, Dkt. Hassan Abbasi amesema agizo la kufungulia vyombo vya habari lililotolewa na Rais Samia Suluhu linahusu televisheni za mtandaoni pekee, na siyo pamoja magazeti.

 

 

Dkt. Abbasi amesema hayo leo ikiwa ni muda mfupi baada ya Rais Samia kueleza kuwa vyombo vya habari vilivyofungiwa akitaja Televisheni za mtandaoni zifunguliwe. Dkt. Abbasi amesema endapo kukiwa na maagizo mengine yanayohusu magazeti, atatekeleza.

 

 

“Hatujaagizwa na Mhe. Rais @samia_suluhu_hassan tuyafungulie Magazeti tuliyoyafungia, ni Online TV tu tunazifungulia….” Dkt. Hassan Abas, Katibu Mkuu wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo.

 
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad