Manowari ya Indonesia yapoteza mawasiliano

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Manowari ya KRI Nanggala-402 inayomilikiwa na kikosi cha Indonesia, na ambayo ina wafanyikazi 53, iliripotiwa kukapoteza mawasiliano na kituo cha udhibiti.
Iliarifiwa kuwa manowari hiyo ilikuwa karibu na pwani ya kaskazini ya kisiwa cha Bali kwa ajili ya zoezi la kijeshi.

Akizungumza na shirika la habari la Uingereza la Reuters, afisa mmoja wa jeshi aliripoti kwamba Australia na Singapore ziliombwa msaada kwa ajili ya shughuli ya uokoaji.

Hakuna jibu lolote lililotolewa kutoka kwa nchi hizi mbili kufuatia wito wa msaada.

Manowari ya KRI Nanggala-402, yenye uzito wa tani 1,395, ilitengenezwa nchini Ujerumani mnamo mwaka 1978 na ilikuwa imepitia kipindi cha miaka miwili ya ukarabati mnamo mwaka 2012.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad