Mvua yapiga Dar, Mamlaka ya hali ya hewa yaonya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini imetoa angalizo la mvua kubwa kunyesha katika baadhi ya maeneo ya mikoa ya Lindi, Morogoro, Pwani (ikihushishwa visiwa vya Mafia), Dar es Salaam na Tanga pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba.



Mamlaka hiyo pia imetoa angalizo la upepo mkali kupiga unaofikia kilomita 40 kwa saa  katika baadhi ya maeneo ikiwepo Dar es Salaam, Lindi, Mtwara, Pwani.

Hata hivyo mvua imeendelea kunyesha asubuhi ya leo katika baadhi ya maeneo ya jiji la Dar es Salaam na kisababisha adha kwa baadhi ya watembea kwa miguu na wale wa vyombo vya moto.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad