AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Marekani imewaamuru Wanadiplomasia wake ambao sio muhimu kuondoka Nchini Chad kutokana na hofu ya kutokea mashambulio katika Mji Mkuu wa N’Djamena
Kauli hiyo imetolewa wakati matokeo ya awali ya Uchaguzi yakionesha Rais Idriss Deby anatarajiwa kushinda na kuendeleza Uongozi wake ambao umedumu kwa miaka 30
Marekani imeamuru Wanadiplomasia hao pamoja na Familia zao kuondoka Chad wakati vikundi vyenye silaha vikionekana kujiimarisha kuingia N'Djamena
Marekani imewaamuru Wanadiplomasia wake ambao sio muhimu kuondoka Nchini Chad kutokana na hofu ya kutokea mashambulio katika Mji Mkuu wa N’Djamena
Kauli hiyo imetolewa wakati matokeo ya awali ya Uchaguzi yakionesha Rais Idriss Deby anatarajiwa kushinda na kuendeleza Uongozi wake ambao umedumu kwa miaka 30
Marekani imeamuru Wanadiplomasia hao pamoja na Familia zao kuondoka Chad wakati vikundi vyenye silaha vikionekana kujiimarisha kuingia N'Djamena
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK