AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji), Geoffrey Mwambe amesema anatamani wale wanaojaribu kutoa ushauri wa 'hapa na pale' kuhusu nini Rais afanye wampe nafasi afanye kazi yake. Ameeleza hayo leo Bungeni Dodoma
Amesema, "Anaifahamu kazi yake, alikuwepo kwenye kupanga mipango na yeye ni sehemu ya mipango hii tunayotekeleza kwa sasa. Mimi ningependa kushukuru kwa ushauri lakini tumuache Rais. Anafahamu wapi atafikisha Nchi yetu"
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK