Twaha Kiduku kukatwa asilimia tano ya mapato kwenye pambano lake leo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Bondia Twaha Kiduku amekubali kukatwa asilimia tano ya mapato yake katika pambano lake dhidi ya Tshibangu Kayembe Wa DR Congo 🇨🇩 baada ya kuzidi uzito jambo lililozua utata katika zoezi la kupima uzito hapo jana
Rasmi sasa Kiduku amekubali yaishe na atapanda ulingoni leo dhidi ya Tshibangu Kayembe akiwa amekubali kukatwa fedha katika pambano hilo kwasababu ya kuzidi Uzito

Kiuhalisia mabondia wote walipaswa kuwa na kilo zisizo zidi 72 kutokana na pambano hilo kuwa la uzito wa kati (Middleweight) lakini Kiduku alikutwa na KG 76 huku mpinzani wake akiwa na KG 72

Twaha Kiduku vs Tshibangu Kayembe

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad