Alikiba akanusha taarifa za kuwa baba wa watoto saba, aandika ‘Uongo’

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Kupitia akaunti yake ya Twitter msanii huyo wa Bongo Fleva na CEO wa lebo ya Kings music Alikiba ameandika kuwa “LIES”



Taarifa hiyo iliandikwa na blog moja kutoka Nairobi Kenya ikisema kuwa “Alikiba becomes father for the 7th time”  Ikimaanisha “Alikiba amekuwa baba wa watoto sabab” baada ya kuiona habari hiyo Alikiba ali Retweet kwenye akaunti yake na kuandika “Lies” na watu kuanza kuishambulia blog hiyo kutoka Kenya.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad