AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia akaunti yake ya Twitter msanii huyo wa Bongo Fleva na CEO wa lebo ya Kings music Alikiba ameandika kuwa “LIES”
Taarifa hiyo iliandikwa na blog moja kutoka Nairobi Kenya ikisema kuwa “Alikiba becomes father for the 7th time” Ikimaanisha “Alikiba amekuwa baba wa watoto sabab” baada ya kuiona habari hiyo Alikiba ali Retweet kwenye akaunti yake na kuandika “Lies” na watu kuanza kuishambulia blog hiyo kutoka Kenya.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK