Alikiba arusha dongo kwa Diamond ? Sadala ukitudanganya sisi una hela inatosha wale wana kili

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kupitia ukurasa wa Twitter wa @officialalikiba ameandika kuwa “Sadala nisikilize ,kati ya hao watu ambao wewe unajidanganya kuwa Ni wenzako , na kudanganya watu wenye ufupi wa akili .hakuna hata mmoja ametanga ana hela akaandikwa FB. haina haja yakulalamika sisi ukituambia kama unahela tunaamini inatosha ila wale wana akili ndefu (mediocre)”

Je hili ni dongo kwa mtu au unahisi @officialalikiba ana maanisha nini hapa?

 
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad